Endelea kuweka mipaka huko chumbani na unakataa kumhufumia mme wako utahudumiwa na mapepo mahaba .
Nafasi ambayo mme wako anatakiwa aichukuwe wewe unakaribisha vinyongo na hasira na kiburi na mipaka na uchoyo wa unyumba .
Ni hivi kqdri unavyojikasirisha ndivyo adui anapata nafasi na pepo mahaba anakuja vizuri usiku kukunaliza wee ulie mkaidi kwa mmeo au mkeo .
Usiku mwema .
Samehe na kuwa huru furahia ndoa yako acha stress.
No comments:
Post a Comment